Senator Methu’s microphone briefly switched off while lecturing Ruto face-to-face
By Mustafa Juma, April 8, 2026Drama unfolded in Nyandarua on Wednesday, April 8, 2026, at the requiem mass of the late Ol Kalou Member of Parliament David Kiaraho, when the area senator John Methu took to the podium to speak.
Methu’s microphone had to be briefly switched off after he started lecturing President William Ruto on the face.
The lawmaker started by claiming that the late Kiaraho had warned leaders from the region against joining the United Democratic Alliance (UDA) over claims that it was a bad party, before he quickly turned on the president, saying that he does not fear him.
“Wakati tuliingia chama cha UDA, mheshimiwa Kiaraho alituambia hiyo chama ni mbaya hataingia, akaingia Jubilee, na watu wa hapa Ol Kalou mkamchagua. Kwanza kabisa mheshimiwa William Ruto, bado mimi ndio John Methu. Sijabadilika, Bado mimi ni Methu wa zamani,” Methu said.
“Na Ile maneno mheshimiwa Kwenya unaogopa ati nisiseme hapa, sitasema lakini ukinisukuma sana nitasema. Mimi nataka nikuambie nikiwa hapa kwasababu sijakuona kwa siku mingi kama Methu nakuheshimu sana mheshimwa rais. Nakuheshimu kama mzazi lakini nataka nikwambie sikuogopi.“

Development projects
When Methu was finally granted back the microphone, he continued with his lecture against Ruto, putting him on the spot over some of the stalled development projects in the area.
He listed some of the roads that the Head of State had promised to construct, which have since stalled.
“But what I was telling you Mr President, Mimi nataka nikueleze jambo moja pekee yake kama senator wa hapa. Sasa nikisema mheshimiwa rais tulikuwa na wewe pale kwa Mama Mukami Kimathi ukatwambia barabara ya kutoka Kinamba kwenda Karangatha, kwa haraka itaekwa lami, na haijaekwa, nimepiga siasa gani? Nikikueleza tulikuwa na wewe Shamata ukatwambia barabara ya kutoka hapa Kariamu kwenda Kaka, kwenda Shamata itaekwa lami na haijaekwa, nimefanya siasa gani? Nikisema mheshimiwa rais, ulikuwa hapa ukatwambia hii stadium ya Ol Kalou, ndani ya miezi kumi itakuwa imemalizika, haijamalizika, nimefanya siasa gani?” Methu posed.
Methu was eventually stopped from addressing the mourners after he extended a dare to National Assembly Majority Leader Kimani Ichung’wah over his attacks on former deputy president Rigathi Gachagua.